Tuesday, July 1, 2014

HATIMAYE KITUO KIPYA CHA MABASI NANE NANE CHAZINDULIWA LEO

 Mabasi yakiwa yamepaki katika kituo kipya cha mabasi Nanenane
 Hili eneo ambalo kuna Manyasi ni eneo ambalo limetengwa maalum kwa ajili ya kuweka sehemu ya abiria kungojea usafiri au walio na wageni kungojea watu wao lakini hakuna kilicho jengwa , hali inayosababisha usumbufu mkubwa.
 Baadhi ya Abiria na watu wanaongoja ndugu zao wakiwa wamekaa katika  manyasi huku wakiwa hawana eneo maalum la wao kukaa, jambo ambalo linasababisha wapigwe na jua pia Mvua ikinyesha hakuna pa kujihifadhi.
 Madereva na makonda wakiwa katika eneo hilo jipya la kituo cha basi


 Abiria wakiwa wamekaa tuu bila mpangilio
Biashara zinaendelea 

Swali linakuja hapa kwa Halmashauri ya Jiji, Je wakati kituo hiki cha basi kinazinduliwa hamkuona kuwa kunatakiwa kuwe na sehemu ya mapumziko? Wananchi wanaomba muwawekee eneo la mapumziko kulipo kuendelea kukaa katika majani ambayo hata hivyo yatakuwa mavumbi siku chache zijazo

PICHA NA JeM

No comments: