Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama
Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini
ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi? Katika
Mkutanao wa Chama hicho Mwanza
Zitto Alishindwa Kujibu Swali hilo na
Badala yake alisema Kawaulize kina Mzee Mtei Chadema nao Wanapata Wapi
Fedha za Kufadhili Mikutano yao...
Wadhamini wa chama ni akinanani.?
Kama mtanzania nahitaji majibu?
CHANZO:TANZANIA TODAY(V.S
No comments:
Post a Comment