Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dr.Jakaya Kikwete akikagua gwaride la Heshima wakati wa
maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania ulioasisiwa na Wazee
wetu Mwalimu J.K.Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume mwaka 1964 kwa
kuunganisha Tanganyika na Zanzibar, Dr. Jakaya kikwete ameongoza maelefu
ya watanzania kwenye uwanja wa Taifa katika sherehe za kuadhimisha
muungano huo sherehe zilizohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali,
Vyama vya Siasa, viongozi wa dini na wananchi wageni waalikwa kwa
ujumula.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-UWANJA WA TAIFA-DAR ES
SALAAM)
Rais
Jakaya Kikwete akiendelea kukagua gwaride la Heshima wakati wa
maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa.
Rais
Jakaya Kikwete akirejea jukwaa kuu mara baada ya kukagua gwaride la
Heshima wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania kwenye
uwanja wa Taifa.
Viongozi mbalimbali wa serikali wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu kwa ajili ya kumpokea Rais Dr. Jakaya Kikwete.
Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda mara baada
ya kukagua gwaride la Heshima wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya
Muungano wa Tanzania.
Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na Mh. Pandu Ameri Kificho Spika wa Baraza
la Wawakilishi Zanzibar mara baara ya kukagua gwaride la Heshima wakati
wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania.
Rais
Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Makamu wa Kwanza wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Mh, Seif Sharif Hamad mara baada ya kukagua gwaride
la Heshima wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania,
Kushoto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Gaharib Bilal na
kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Meck Sadik.
Rais
Jakaya Kikwete akiakizungumza jambo na Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohamed
Shein huku Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akiwaangalia
kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na kulia ni Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal. wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania
Rais Jakaya Kikwete akipokea heshima kutoka Vikosi vya ulinzi na usalana
wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa maadhimisho hayo. Mwenyekiti
wa Chama cha TLP Taifa na Mbunge wa jimbo la Vunjo Mh. Augustino
Lyatonga Mrema akiwa ameungana na wageni wengine waalikwa katika
maadhimisho ya sherehe hizo.
Kikosi Cha bendera kikitoa heshima zake Mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dr. Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho hayo.
Wananchi mbalimbali wakiwa katika maadhimisho hayo.
No comments:
Post a Comment