Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji ambaye ni mmiliki wa shamba la Ndizi,, Amesema shamba hilo lina miche 345 ambayo huvuna magunia 25 na ana shamba la migomba ambalo humpatia mavuno ya mikungu kwa mwezi 45.
Mzee Kishunji ambaye anaishi katika kijiji cha Kikukuru kata ya Mabira ameweza kusomesha watoto wawili katika vyuo vikuu vya Dar es salaam na Dodoma na amejenga nyumba ya kisasa yenye thamani kubwa ya fedha kutokana na kilimo bora cha kisasa.
Mzee Kishunji ambaye anaishi katika kijiji cha Kikukuru kata ya Mabira ameweza kusomesha watoto wawili katika vyuo vikuu vya Dar es salaam na Dodoma na amejenga nyumba ya kisasa yenye thamani kubwa ya fedha kutokana na kilimo bora cha kisasa.
Katibu
Mkuu Kinana yuko ziarani katika mikoa ya Kagera , Geita na Mwanza
akikagua utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010,
akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Umeamka pamema leo.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la ndizi
akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Kagera na wakiongozwa na mzee
Wananchi wakimshangilia Kinana wakati ailpowasili katika kijiji cha Kongorogo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika kijiji cha Kibingo.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wananchi katika
mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kijiji cha Kibingo wilayani
Kyerwa.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera akiwasalimu wananchi wa Isingiro, wilaya ya Kyerwa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha Isingiro, wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wakazi wa kijiji cha Isingiro, wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wakati alipowasili kwenye mkutano mjini Isingiro.
Baadhi ya migomba katika shamba la mzee Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Isingiro
Mbunge wa Kyerwa Bw.Eustace
Katagira akihutubia wananchi wa Isingiro kwenye mkutano wa hadhara
ambao Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alikuwa mgeni rasmi.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Mkuu wa mkoa wa
Kagera Mh. John Mongela, kulia ni Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Kagera.
No comments:
Post a Comment