Monday, December 14, 2015

ASANTE SANA MUNGU KWA KUNIFIKISHA MWAKA MWINGINE TENA WA SIKU YANGU YA KUZALIWA.

Nipe hekima ya kuwa Kingo mwema katika jamii na Bariki kazi za mikono yangu na bariki familia yangu na ukoo wangu wote pamoja na wote wanaonizunguka. Amen

No comments: