Sunday, March 20, 2016

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA APIGA KURA KWENYE UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR LEO Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitimiza haki yake ya kupiga kura katika kituo Namba 11 Shule ya Sekondari Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi A Mkoa wa Mjini Unguja kwa ajili ya Uchaguzi wa marudio unaofanyika leo March 20,2016 Visiwani Zanzibar.

No comments: