Baadhi
ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi
Bw. Morice Oyuke kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (katikati) akizungumza
kuhusu ukuaji wa Pato la Taifa kwa robo mwaka ya tatu ya mwaka 2013
katika ukumbi uliopo Ofisi ya Rais Tume ya Mipango, Dar es Salaam.
Saturday, January 25, 2014
PATO LA TAIFA LIMEONGEZEKA KWA KASI YA ASILIMIA 6.5 KWA KIPINDI CHA JULAI – SEPTEMBA, 2013 IKILINGANISHWA NA ASILIMIA 7.2 KWA KIPINDI KAMA HICHO MWAKA 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment