Wednesday, January 24, 2018

Tanzia: Jaji Kisanga afariki Dunia

Jaji mstaafu, Robert Kisanga amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Regency Dar. Rais wa Chama cha Majaji Wastaafu, Thomas Mihayo amethibitisha.

R.I.P Jaji Kisanga.

No comments: