Thursday, September 27, 2012

Soko la Mwanjelwa linaloendelea kujengwa Jijin Mbeya
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa soko kuu la Mwanjelwa linalo subiriwa kwa hamu na wafanya biashara Mbeya
Wakina mama wajasiriamali wa biashara ya vyungu wakifanya biashara nje ya soko la Mwanjelwa.
Wakazi wa jiji la mbeya wakiendelea na shughuri za kawaida za kila siku. na Ally Kingo Mbeya






No comments: