Ajali
hii imetokea usiku wa kuamkia leo maeneo ya barabara ya mbalizi
kuelekea mabatini Gari hiyo mali ya kampuni ya simu vodacom iliporamia
nguzo ya taa za barabarani na dereva wake amejulikana kwa jina moja tu
Karinga ambae ameumia kidogo chanzo cha ajali mpaka sasa hakijajulikana |
No comments:
Post a Comment