Wednesday, January 14, 2015

KOMBE LA MAPINDUZI CUP UWANJA WA AMANI; SIMBA YANYAKUA KOMBE NA TSH MILION KUMI

unnamed 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Wachezaji wa Timu ya Simba kabla ya mpambano wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi na Timu ya Mtibwa Sugar katika kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Kikosi kamili cha Timu ya Simba kikiwa katika picha ya pamoja Uwanja wa Amaan Studium jana wakati wa Mpambano wa mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi Cup na Timu ya Mtibwa Sugar mchezo huo ikiwa ni kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar ambapo mgeni rasmi alikuwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein [Picha na Ikulu.]
unnamed3 
Wananchi na Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia kwa makini mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi Cup kati ya Simba na Mtibwa Sugar uliochezwa jana katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja ikiwa ni katika kusherehekea miaka 51 ya mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ambapo simba iliweza kutokakifua mbele kwa kuwafunga Mtibwa matuta 4-3, [Picha na Ikulu.]
unnamed4 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi kombe Nahodha wa Timu ya Simba Hassan Izhaka baada ya kuifunga Mtibwa kwa matuta 4-3 mchezo wa Fainali ya kombe la Mapinduzi uliofanyika jana ikiwa ni kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar katika uwanja wa Amaan Studium,[Picha na Ikulu.]
unnamed5 
Wachezaji wa Timu ya Simba wakisherehekea ushindi wao baada ya kuwafunga kwa matuta timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi 4-3 katika uwanja wa Amaan studium Mjini Unguja jana katika kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
unnamed6 
Mashabiki wa Timu ya  Simba Wengundu wa Msimbazi walipokuwa katika jukwa la   Saa katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja wakishangilia timu yao ilipocheza na Mtibwa Sugar ya Morogoro katika fainali ya kombe la Mapinduzi,Timu hiyo ya Simba ilishinda kwa matuta 4-3ikiwa ni kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Bendera ya Shirikisho la mchezo wa Mpira wa Miguu FIFA iliyobebwa na Vijana wakiwepo na waamuzi wa Mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi kati ya Timu ya Mtibwa Sugar na Simba katika Uwanja wa Amaan Studium katika kusherehekea miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika mchezo huo Simba iliibuka kwa ushindi wa matuta 4-3 dhidi ya Mtibwa, [Picha na Ikulu.]
unnamed 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Said Ali Mbarouk (kushoto) wakiangalia mchezo wa Fainali ya kombe la Mapinduzi Cup kati ya Simba na Mtibwa Sugar uliochezwa jana katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja ikiwa ni katika kusherehekea miaka 51 ya mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ambapo simba iliweza kutokakifua mbele kwa kuwafunga Mtibwa matuta 4-3 , [Picha na Ikulu.]

No comments: