Thursday, June 13, 2013

MAPENDEKEZO YA KUGAWA MKOA WA MBEYA, BARAZA LA MADIWANI RUNGWE WAPENDEKEZA MKOA KUITWA RUNGWE NA MAKAO MAKUU KUWA KATIKA NJI WA TUKUYU


JENGO JIPYA AMBALO BARAZA LA MADIWANI RUNGWE KWA KAULI MOJA LIMEAMUA KUWA ENDAPO RUNGWE ITAFIKIA VIGEZO NA KUWA MKOA WA MBEYA BASI HILO NDILO LITAKUWA OFISI YA MKUU WA MKOA NA WATENDAJI WAKE

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA RUNGWE WAKIWA KATIKA KIKAO MAALUM KWA AJLILI YA MAPENDEKEZO YA KUUGAWA MKOA WA MBEYA ILI KUWA MIKOA MIWILI

WATENDAJI WA HALMASHAURI YA RUNGWE WAKIWA MAKINI KATIKA KIKAO HICHO

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA RUNGWE AKIONGEA NA BARAZA LAMADIWANI NA WATENDAJI KATIKA KIKAO MAALUM CHA KUUUGAWA MKOA WA MBEYA KUWA MIKOA MIWILI


MKUU WA WILLAYA YA RUNGWE CHRISPIN MEELA AKIONGOZA KIKAO CHA RCC BAADA YA KIKAO CHA MADIWANI KUPITISHA MAPENDEKEZO YA MAKAO MAKUU YA MKOA MPYA YAWE TUKUYU  NA MKOA MPYA KUITWA  RUNGWE

DAS ALINANUSWE MWALUFUNDA AKITOA TAARIFA YA SERIKALI BAADA YA MCHAKATO HUU KUANZA ILI KUGAWA MKOA WA MBEYA NA KUWA MIKOA MIWILI


DIWANI KATA YA KAWETELE  KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI AKIPINGA MAPENDEKEZO YA MKOA MPYA KUWA WILAYANI RUNGWE KWA SABABU KATA ANAYOTOKA HAINA OFISI


MHESHIMIWA BASHIRU MADODI AKITOA MCHANGO WAKE

DIWANI KATA YA KIWIRA KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA AKIELEZA FULSA ZITAKAZO WANUFAISHA WANANCHI BAADA YA KUKUBARIKA KWA MKOA MPYA AMBAO YEYE  KAMA MWAKILISHI WA WANANCHI ALIUNGA NKONO HIJA KWA ASILIMIA MIA

WAJUMBE WA KIKAO WAKIWA MAKINI KUSIKILIZA

MR SHIRIMA AKISOMA TAARIFA YA MAPENDEKEZO YA KUGAWANYA MKOA WA MBEYA KUWA MIKOA MIWILI

BAADA YA MAJADILIANO KWA MUDA NA MUAFAKA UKAFIKIWA MWENYEKITI WA KIAO MAALUM CHA BARAZA LA MADIWANI RUNGWE ALFRED MWAKIPIKI AKATOA TAMKO KUWA MAKAO MAKUU YA MKOA MPYA UWE TUKUYU, NA MAPENDEKEZO YA WILAYA YAKIWA NI  1. RUNGWE 2. ILEJE 3. KYELA 4. BUSOKELO ITAMBULIKE KAMA WILAYA ILI KUUNDA MKOA WENYE WILAYA NNE

KULIA NI DIWANI WA KATA YA KAWETELE MHESHIMIWA MWASAKILALI  WA CHAMA CHA NCCR MAGEUSI AKIJIBU MASWALI A WAAANDISHI WA HABARI HASA BAADA YA KUPINGA KUWWEPO KWA MKOA MPYA KATIKA WILAYA YA RUNGWE IKIWA NI KUSOGEZA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI SWALI NI JE KUKATAA KWAKE NI MAWAZO YA WANANCHI WAKE AU NIYAKE BINAFSI SWALI AMBALO ALISHIDWA KUJIBU


WAJUMBE WA DCC WILAYA YA RUNGWE WAKIWA MAKINI KUSIKILIZA HOJA ZA WATU WAKITOA MAPENDEKEZO YA UWEPO WA KUGAWANYWA KWA MKOA WA MBEYA

KULIA NIMWENYEKITI WA BARAZA LA MADIWANI RUNGWE NA MAKAMU WAKE WAKIWA NNJE YA JENGO JIPYA LA HALMASHAURI YA RUNGWE AMBALO KUPITIA KIKAOA CHA MA DIWANI WAMEPITI SHA KUWA JENGO LA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUNGWE

 KINGOTANZANIA: ITAWALETEA WADAU MUENDELEZO WA FULSA ZINAZO SABABISHA BARAZA LA MADIWANI RUNNGWE KUPENDEKEZA MKOA MPYA MAKAO MAKUU YAKE YAWE KATIKA MJI WA TUKUYU NA KWA NINI MKAO MKUU HAYA YAMEPEWA JINA LA RTUGWE. FUATANA NAMI KWA MAONA NA USHAURI www.kingotanzania.blogspot.com

 ................................................................................................................................

TANAPA YAKABIDHI TUZO KWA WAANDISHI WA HABARI MKOANI IRINGA

224 b117e
Waziri wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki akimkabidhi Mwandishi Musa Juma kutoka gazeti la Mwananchi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja na laki tano aliyoshinda baada ya kuandika makala nzuri ya kutangaza utalii wa Tanzania katika tuzo inayoandaliwa na shirika la hifadhi za taifa TANAPA kwa waandishi wa habari wa Televisheni, Redio na Magazeti katika hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi watuzo hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya Hiltop Hotel ya mjini Iringa, hafla hiyo imefanyika baada ya mkutano wa siku mbili kati ya wahariri wa vyombo vya habari na TANAPA katika ikiwa na kauli mbiu ya Jukumu la Vyombo vya habari Katika kukabiliana na Ujangili katika hifadhi za taifa uliomalizika leo , kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Ndugu James Lembeli na katikati ni Mkurugenzi wa Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA

322 b1878
Waziri wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki akimkabidhi Mwandishi Albano Midelo wa Gazeti la Dira tuzo aliyojishindia baada ya kuandika makala iliyozungumzia vyema masuala ya utalii , kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Ndugu James Lembeli na katikati ni Mkurugenzi wa Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA Ndugu Allan Kijazi.

Polisi wa Kike aliyepiga picha za utupu atimuliwa kazi

WP Amisa

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemfukuza kazi askari wake wa kike, WP Amisa, aliyekuwa akifanya kazi kituo cha Polisi Magomeni kutokana na utovu wa nidhamu.

 Kamanda wa Kanda hiyo, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova amesema, Amisa amefukuzwa kazi kwa kuwa amekiuka maadili ya Jeshi kwa kitendo chake cha kupiga picha za utupu zilizoonekana katika mitandao.

Amesema, baada ya uchunguzi wa muda mrefu hasa baada ya taarifa na malalamiko ya watu kuhusu askari huyo, Juni 7 Jeshi hilo lilimtia hatiani askari huyo baada ya kujiridhisha na mwenendo mzima wa picha katika mitandao hiyo..
.........................................................................................................................................................................................................................

No comments: