Tuesday, July 23, 2013

MSIBA; FAMILIA YA JACKSON KISONDA WA DSM INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MZEE SINGOLE MWAKALOBO WA MANOW KATIKA KIJIJI CHA NDEMBO WILAYANI RUNGWE. MAZIKO YATAFANYIKA KESHO KATIKA KANISA LA KKT USHARIKA WA MANOW.

MZEE SINGOLILE MWAKALOBO ENZI ZA UHAI WAKE

MAREHEMU SINGOLILE MWAKALOBO AMEFARIKI LEO ASUBUHI KATIKA HOSPITAL YA ITETE HALMASHAURI YA BUSOKELO NA AKIWA NA UMLI WA MIAKA 98.
MAZIKO YATAFANYIKA KATIKA KANISA LA KKT USHARIKA WA MANOW HALMASHAURI YA BUSOKELO KESHO TAREHE 24.07.2013. "BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA NA LIHIMIDIWE'
..............................................................
 

MFUMO MPYA WA USAJILI WA VIZAZI NA VIFO KUPITIA MKAKATI WA USAJILI WA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO WAZINDULIWA JIJINI MBEYA LEO

 
Picha ya
pamoja mara baad ya  kuuzinduliwa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi
na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5
bure jijini Mbeya,hafla hiyo inayoratibiwa na RITA,imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda
Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo
shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la

 Naibu Waziri
wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki akizindua mfumo mpya wa usajili wa
Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya
miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda
Nzovwe,mkoani Mbeya,kulia kwake ni Afisa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko
 na
kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini,Dkt.Norman Sigalla na wa pili kulia ni
Mwenyekiti wa bodi ya Ushauri RITA,Bwa.Vincent Mrisho na wageni mbambali
wakilishuhudia tukio hilo adhimu kabisa.Shughuli nzima inaratibiwa na 
RITA.
 
Mgeni Rasmi,  Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki akimkabidhi mmoja wa akina mama aliyejitambulisha kwa jina la Fides Samson akikabidhiwa cheti cha kuzaliwa cha mtoto wake mwenye umri chini ya miaka 5,mara baada ya kuzindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).
 Baadhi ya akina mama wakiwa na vyeti vya kuzawaliwa vya watoto wao wanye zaidi ya wiki mbili tangu kuzaliwa kwao,mara baada ya kabidhiwa leo na Mgeni Rasmi,  Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki mara baada ya kuuzindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 bure jijini Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).
 Mgeni rasmi, Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki akizungumza mbele ya wakazi wa mji wa Mbeya (hawapo pichani) mapema leo wakati alipokuwa akizindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Baadhi ya Wakazi wa jijini Mbeya wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa Ruanda Nzovwe mapema leo wakati  wa uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la UNICEF hapa nchini,Dkt.Jamal
Gulaid  Mgeni akizungumza mbele ya wakazi wa mji wa Mbeya
(hawapo pichani) mapema leo wakati alipokuwa akizindua mfumo mpya wa usajili wa
Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya
miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda
Nzovwe,jijini Mbeya.
 Baadhi ya akina mama na watoto wao wakifuatilia kwa makini yalikuwa yakijiri kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo inayoratibiwa na RITA imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Baadhi ya  Wageni waalikwa na wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali ya Kimataifa wakifuatilia  uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.
 Mwenyekiti wa bodi ya Ushauri RITA,Bwa.Vincent Mrisho akifafanua jambo kwa Baadhi ya Wakazi wa jijini la Mbeya  (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 Mkoa wa Mbeya,hafla hiyo imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,jijini Mbeya.Aidha Bwa.Mrisho aliongeza kuwa mkakati huo hauwalengi watoto walio chini ya miaka mitano tu bali ni sehemu ya mfumo mpya wenye lengo la kuwapa nafasi wananchi  walio zaidi ya miaka mitano kujisajili na kupata vyeti vya kuzaliwa.
Mkuu wa
Wilaya ya Mbeya Mjini,Dkt.Norman Sigalla (pichani kati) akiwa na Mgeni Rasmi
pichani kushoto,Naibu Waziri wa katiba na Sheria,Mh, Angellah Kairuki mara
alipokuwa akiwasili kwenye uwanja wa Ruanda Nzovwe jijini Mbeya kwa ajili ya
kuuzindua mfumo mpya wa usajili wa Vizazi  na vifo kupitia mkakati wa
usajili wa watoto wa umri chini ya miaka 5 bure jijini Mbeya,hafla hiyo
imefanyika mapema leo kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe,mkoani Mbeya.Mpango huo
umefadhiriwa na mashirika mbalimbali likwemo shirika la UNICEF,DFTDA (iliyokuwa
CIDA Canada zamani) pamoja na Shirika la Wafanyakazi la kujitolea (VSO).

No comments: