Monday, February 17, 2014

LULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA

LULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
Na Waandishi wetu
KESI inayomkabili staa wa sinema za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ dhidi ya msanii mwenzake marehemu Steven Kanumba imeunguruma leo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku mtuhumiwa akikiri baadhi ya mashtaka.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi hapo watakapojulishwa na mahakama tarehe ya kusomwa kwa shitaka lake la kuua bila kukusudia.

Habari kamili kuhusu kesi hiyo Soma Gazeti la Risasi Jumatano.
(Imeandikwa na Jelard Lucas, Haruni Sanchawa / GPL)
LULU AKIWA MAHAKAMNI LEO
 
KESI inayomkabili staa wa sinema za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ dhidi ya msanii mwenzake marehemu Steven Kanumba imeunguruma leo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku mtuhumiwa akikiri baadhi ya mashtaka.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi hapo watakapojulishwa na mahakama tarehe ya kusomwa kwa shitaka lake la kuua bila kukusudia.

No comments: