Thursday, October 2, 2014

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA SHAMBANI KIJIJI CHA KWEMNYEFU

Vijana nao wakiendelea na kazi ya kilimo shambani6 
Jengo la Kituo cha habari za kilimo lililojengwa na serikali katika kata ya Songa wilayani Muheza ,Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amelitembelea na kukagua ujenzi wa jengo hili. 13 
Peter John Jambele Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kuongea na wananchi wa Muheza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Jitegemee mjini Muheza Tanga.17 

No comments: