Monday, July 13, 2015

MZEE OJWANG WA VITIMBI AFARIKI DUNIA JIJINI NAIROBI

ojwang
Mwigizaji maarufu kutoka nchini Kenya  Mzee Ojwang amefaiki jana jumapili jioni katika hospitali ya  Kenyatta jijini Nairobi alikokuwa amelazwa , Mwigizaji  Benson Wanjau alias Mzee Ojwang . Mzee Ojwang alikuwa amelazwa hospitalini hapo akisumbuliwa na  ugonjwa wa Pneumonia. Ojwang alikuwa mwigizaji wa vipindi maarufu vya  Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga katika vituo vya luninga vya Kenya na ITV nchini Tanzania

Alijipatia umaarufu nchini Kenya pamoja na maeneo yote ya nchi za Afrika Mashariki kutokana na uwezo wake katika kuigiza ambapo alikuwa akiwavinja mbavu watazamaji wake kutokana na vituko vyake na uwezo wake katika kuchekesha watazamaji wakati akiigiza, Mungu iweke mahali pema peponi roho ya Mwigizaji  Marehemu Benson Wanjau alias Mzee Ojwang kwa.

No comments: