Friday, September 18, 2015

Dk.Ali Mohamed Shein KATIKA JIMBO LA MKANYAGENI LEO

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika uwanja wa Black wizard Chokocho jimbo la uchaguzi la Mkoani Wilaya ya Mkoani Pemba,
PICHA ZOTE NA IKULU.
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwa Mgombea wa Urais wa kupitia CCM kwa kipindi cha pili Dk.Ali Mohamed Shein akionesha Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa Wananchi na Wanachama wa CCM jimbo la Mkanyageni katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi zilizofanyika katika uwanja wa mpira  Black wizard leo Chokocho,
3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwa Mgombea wa Urais wa kupitia CCM kwa kipindi cha pili Dk.Ali Mohamed Shein akimtambulisha mgombea Uwakilishi Mohamed Ijaza Jecha Jimbo la Mtambile  Wilaya ya Mkoani Mkoa wa kusini Pemba leo katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi zilizofanyika katika uwanja wa mpira  Black wizard Chokocho.
4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwa Mgombea wa Urais wa kupitia CCM kwa kipindi cha pili Dk.Ali Mohamed Shein akimtambulisha mgombea Ubunge Prof.MAKAME mbarawa Mnyaa Jimbo la MKANYAGENI Wilaya ya Mkoani Mkoa wa kusini Pemba leo katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi zilizofanyika katika uwanja wa mpira  Black wizard Chokocho.
7
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM NEC na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Pandu Ameir Kificho alipokuwa akiwaombea kura wagombea wa CCM katika mkutano wa hadhara wa Jimbo la Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba leo wakati Mgombea Urais wa Zanzibar  Dk.Ali Mohamed Shein  akitangaza sera zake wakati wa Mkutano wa Hadhara  wa Kampeni za katika jimbo hilo.
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwa Mgombea wa Urais wa kupitia CCM kwa kipindi cha pili Dk.Ali Mohamed Shein akiwatambulisha wagombea Udiwani wa Majimbo ya Wilaya ya Mkoani Mkoa wa kusini Pemba leo katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi zilizofanyika katika uwanja wa mpira  Black wizard Chokocho.
  6 
5
Baadhi ya Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM waliohudhuria katika mkutano wa Kampeni za CCM katika Wialaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba,zilizofanyika leo katika uwanja wa Black Wizard na kuhutubiwa na  Mgombea Urais kwa kipindi cha pili Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.

DK.JOHN POMBE MAGUFULI AAHIDI KUDUMISHA UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA

1
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa mjini Kibondo kwenye uwanja wa Taifa  katika mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo na kuhudhuriwa na Malefu ya wananchi mkoani Kigoma.
Dk. John Pombe Magufuli  akizungumza na wananchi wakati akiomba kura katika kijiji cha Mnanila wilayani Buhigwe mkoani Kigoma Dk. Magufuli amesema serikali yake itaendeleza uhusiano wa Kidiplomasia na mataifa na nchi mbalimbali pamoja na  nchi majirani zinazoshirikiana na Tanzania katika nyanja za Uchumi, Utamaduni na Siasa.
Ameongeza kwamba ni muhimu kuendeleza ushirikiano  ambao umejengwa na marais wetu wastaafu waliopita na kusaidia kukuza uchumi wa wananchi wetu katika nchi zetu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha uchumi wa wananchi wa mataifa haya unakuwa kutokana na ushirikiano wa biashara na masuala mbalimbali ya kisiasa na kiutamaduni.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE.KIBONDO)
2
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akihutubia wananchi katika kijiji cha Mnamila wilayani Buhigwe mkoani Kigoma.
3
Umati wa Wananchi waliohudhuria katika mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika katika uwanja wa Taifa mjini Kibondo jioni ya leo.
4
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akipanda jukwaani tayari kwa kuwahutubia wananchi kwenye uwanja wa Taifa mjini Kibondo leo.
5
Kada wa CCM Bw. Jamal Abdallah Tamim akipigia debe Mgombea ubunge wa jimbo la Muhambwe Injinia Atashasta Nditiye katika mkutano huo.
6
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe.Daudi Felix Ntibenda akimpigia debe mgombea ubunge wa jimbo la Muhambwe Injinia Atashasta Nditiye.
7 9
Baadhi ya wananchi wakisubiri msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli upite huku mabasi pia yakiwa yameegeshwa kando ya barabara.
10
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Taifa mjini Kibondo tayari kwa kuwahutubia wananchi mjini Kibondo.
12
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwanadi wagembea ubunge wa Kasulu Daniel Nsazugwako kulia na Agustino Zuma Ole katikati.
13
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli awahutubia wananchi wa Kasulu katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Umoja.
14
Umati wa wananchi waliohudhuria katika mkutano huo.
15 16
Kikundi cha ngoma kikitumbuiza wakati msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli ukisubiriwa kuwasili kwenye uwanja wa Umoja mjini Kasulu.
17
Kila mahali ni picha za Magufuli tu.
18
Akina mama wakifurahia hotuba ya Dk. John Pombe Magufuli mjini Buhigwe.
19
Mama huyu akimfurahia Dk. John Pombe Magufuli wakati alipokuwa akiwasalimia wananchi akiwa  njiani kuelekea mjini Kasulu huku akiwa amebeba mkungu wa ndizi.
20
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa kijiji cha Mnamila wilayani Buhigwe.
21
Kikundi cha wanakwaya kikiwa tayari kwa kutumbuiza katika mkutano wa Dk John Pombe Magufuli katika kijiji cha Mnamila.
22
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akifurahia na mgombea ubunge wa jimbo la Buhigwe Mh Obama.
23
Ilikuwa ni furaha kwa watoto hawa kumuona Dk John Pombe Magufuli.
24 25
Watu waliowengi walijipamba picha za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli kila alipokuwa akipita na kuzungumza nao katika jimbo la Buhigwe mkoani Kigoma.

No comments: