Friday, September 18, 2015

Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia


image_1
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.
image_2
Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.
image_3
Kiongozi wa waendesha mitambo ya uchimbaji visima wa kampuni ya ZENTAS Bw. Sima Teodor ( kushoto) akitoa maelezo kwa wandishi wa habari kuhusu kazi ya uchimbaji wa kisima hicho katika eneo la mradi wilayani Mkuranga.
image_4
Msimamizi wa mradi huo kutokaKampuni ya ZENTAS, Muhandisi Lami Karagoz (katikati) akifafanua teknolojia na vifaa vilivyotumika kuchimba kisima hicho.(Picha na Aron Msigwa/ MAELEZO).
Read more...

No comments: