Friday, October 30, 2015

SCREEN MASTERS WALIPAMBA BASI LA MBEYA CITY


11218903_963430877028605_2270729444866256425_n
Wafanyakazi wa kampuni ya Screen Masters Limited ya jijini Dar wakiendelea kulipamba basi la Mbeya City. 
12079536_963430803695279_6917505578594463550_n
Basi la klabu ya Mbeya City FC baada ya kupambwa na kampuni ya Screen Masters Limited ya Dar es Salaam tayari kuanza shughuli ya kusafirisha wachezaji wa timu hiyo kwa safari za ndani na nje ya Mbeya kwenye mechi mbalimbali za Ligi Kuu Bara.

No comments: