PROF MARK MWANDOSYA |
Uchaguzi wa ngazi mbalimbali za CCM wilayani Rungwe mkoani
Mkoani Mbeya matokeo ya awali ni
Waliogombea nafasi ya NEC Prof Mark Mwandosya amepata kula
1118 na aliemfuatia ni Richard Kazsesela kula 198 ndugu mwandiga kula 28,
zilizoharibika kula 12
Aliechaguliwa nafasi ya mkutano mkuu wa mkoa Michael Pascco,
Doriss Kimambo.
Mkutano mkuu wa Taifa
walio chaguliwa ni Petro Paresso, Lutengano Mwalwiba , Richard Kasesela, Sarome
Mwakalinga, Meckson Mwakipunga,
Na nafasi ya mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rungwe imechukuliwa na Ally Mwakalindile kula 948 baada ya kumbwaga Samweli Mwakyambiki kwa kula 469. Nafasi hiyo iliachwa wazi baada ya kutokea kifo cha John Mwankenja.
Na nafasi ya mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rungwe imechukuliwa na Ally Mwakalindile kula 948 baada ya kumbwaga Samweli Mwakyambiki kwa kula 469. Nafasi hiyo iliachwa wazi baada ya kutokea kifo cha John Mwankenja.
No comments:
Post a Comment