Saturday, September 29, 2012

MATOKEO YA AWALI YA UCHAGUZI WA CCM WILAYANI RUNGWE.

PROF MARK MWANDOSYA

Uchaguzi wa ngazi mbalimbali za CCM wilayani Rungwe mkoani Mkoani Mbeya matokeo ya awali ni 

Waliogombea nafasi ya NEC Prof Mark Mwandosya amepata kula 1118 na aliemfuatia ni Richard Kazsesela kula 198 ndugu mwandiga kula 28, zilizoharibika kula 12 

Aliechaguliwa nafasi ya mkutano mkuu wa mkoa Michael Pascco, Doriss Kimambo.
 Mkutano mkuu wa Taifa walio chaguliwa ni Petro Paresso, Lutengano Mwalwiba , Richard Kasesela, Sarome Mwakalinga, Meckson Mwakipunga, 
Na nafasi ya mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rungwe imechukuliwa na Ally Mwakalindile kula 948 baada ya kumbwaga Samweli Mwakyambiki kwa kula 469. Nafasi hiyo iliachwa wazi baada ya kutokea kifo cha John Mwankenja.

No comments: