Friday, April 19, 2013

ASASI YA ELIMISHA NA WAANDISHI WA HABARI MKOANI MBEYA WATOA ZAWADI KWA WATOTO WA KITUO CHA CHIRD SUPPORT TANZANIA

  

Mtendaji Mkuu wa Elimisha, Festo Sikagonamo akimkabidhi zawadi moja ya watoto wa kituo cha Chird support Tanzania 
Festo Sikagonamo akiwakabidhi zawadi za watoto kwa viongozi wa chird support 
Baadhi ya waandishi wa habari walioandamana na asasi hiyo ya Elimisha wakigawa zawadi kwa watoto hao 
Danny Tweve moja ya viongozi wa asasi hiyo ya Elimisha akimpatia moja ya watoto zawadi kituoni hapo
Hakika watoto wamefurahi kupata zawadi 
Mtoto mlemavu wa miguu na mikono akionyesha jinsi zawadi yake ya kalamu aliopewa atakavyo andikia
Watoto wakiimba kwa furaha kuwakaribisha wageni wao
Baadhi ya waandishi wa habari walioandamana na asasi ya Elimisha wakiwa makini kuwasikiliza watoto walipokuwa wakiimba
Baadhi ya walimu wa kituo hicho wakiimba pamoja na watoto wao
Mtendaji Mkuu wa Elimisha, Festo Sikagonamo amesema zawadi hizo walizotoa kwa watoto hao wamepata toka kwa wafadhiri mbali mbali
Mkurugenzi wa kituo cha chird support Noera akiwashukuru asasi ya Elimisha pamoja na waandishi wa habari kuguswa juu ya watoto anaowalea hapo kituoni kwa kuwapatia zawadi mbalimbali 

No comments: