Friday, July 12, 2013

MZIMU WA WAPI YAWE MAKAO YA MKOA MPYA WAWATESA WANAMKOA WA SONGWE HUKU WILAYA YA RUNGWE WAKUBARI YAISHE NA KUCHAPA KAZI ZA WANANCHI ILI KUWALETEA MAENDELEO

 
MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA RUNGWE MKOANI MBEYA AMABAPO JENGO HILI JIPYA LILITOLEWA NA HALMASHAURI YA RUNGWE KAMA MKOA MPYA UNGEFANILIWA KUWA RUNGWE BASI HAPO NDIPO OFISI ZINGEANAZIA KWA MUDA LAKAIN SASA TAYARI JENGO HILI LIMEANZA KUTUMIKA KWA SHUGHURI ZA OFISI ZA HALMASHAURI YA RUNGWE.

KATIKATI MWENYEKITI MHE, A MWAKASANGULA WA HALMASHAURI YA RUNGWE AKIFUNGUA KIKAO CHA BALAZA LA MADIWANI CHA ROBO MWAKA NA KUUANZA MWAKA WA FEDHA 2013/2014

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA RUNGWE AKIONGEA NA WAJUMBE WA BALAZA LA MADIWANI NA WATENDAJI WA HALMASHAURI YA RUNGWE HASA AMEWATAKA WATENDAJI NA MADIWANI KUONGEZA USHIRIKIANO KATIKA UWAJIBIKAJI WA KUFANYA KAZI ZA MAENDELEO YA WANANCHI

WAJUMBE WA BARAZA LA MADIWANI

BAADHI YA WATENDAJI WA HALMASHAURI YA RUNGWE

KULIA NI ENZI SEME AFISA UTAMADUNI WA HALMASHAURI YA RUNGWE AKIWA MAKINI KATIKA KIKAO CHA ROBO MWAKA CHA BARAZA LA MADIWANI


MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA RUNGWE AKIONGEA NA WAJUMBE WA BARAZA LA MADIWANI PIA KATIKA MADA ZILIZOKUWEPO MEZANI NI PAMOJA NA KUFANYIKA KWA UCHAGUZI WA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI PAMOJA NA UTEUZI WA KAMATI ZA HALMASHAURI

MUDA WA UCHAGUZI WA MAKAMU MWENYEKITI UKAFIKA KWA  DIWANI KATA YA KIWIRA LAURENT MWAMBEBULE KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA  AKINADI SERA ZAKE NA KUOMBA KUCHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA RUNGWE

KUPITIA CHAMA CHA NCCR MHE, ANYIMIKE MWASAKILALI AKIJINADI KATIKA NAFASI YA KUGOMBEA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA RUNGWE

WAKATI WA KUPIGA KURA

KURA ZIKAHESABIWA NA KAMATI YA UCHAGUZI NA WASIMAMIZI WA WAGOMBEA

BAADA YA KUHESABIWA KURA MATOKEO YAKATANGAZWA NDIPO AKAIBUKA MSHINDI MHESHIMIWA E. MWAKOTA KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA RUNGWE KUPITIA CHAMA CHA CCM KWA KURA 27 NA LAURENT MWAMBEBULE WA CHADEMA AKAPATA KURA 4 PIA ANYIMIKE MWASAKILALI WA NCCR AKAPATA KURA 2. HIVYO MKURUGENZI WA HALMASHAURI KAMA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AKAMTANGAZA MHE, MWAKOTA KWA TIKETI YA CCM KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA RUNGWE KWA KIPINDI KINGINDE CHA MWAKA 2013/2014

MHE EMMANUEL MWAIJANDE AKACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI

MHE, EZEKIA MWALUSAMBA AKACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA UCHUMI UJENZI NA MAZINGIRA

BAADA YA KUPITIA UTEKELEZAJI WA MIRADI NA RIPOTI ZA UKAGUZI MWISHO MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA RUNGWE MHE, MWAKOTA AKAWATAKA WATENDAJI NA MADIWANI KUANZA UKURASA MPYA WA UWAJIBIKAJI KILA MTU KATIKA NAFASI YAKE BILA YA BUGHUDHA ILI KUKUSANYA MAPATO YALIYOSHUKWA MWAKA HUU UNAOISHA WA FEDHA HIVYO AMEATAKA CHANGAMOTO WA ZILIZOKUWEPO AWALI NDIZO  ZIREKEBISHWE ILI MAPATO YAPANDE NA KUTEKELEZA VYEMA MIRADI YA WANANCHI ILI KUWALETEA MAENDELEO WATANZANIA
KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI KIMEFANYIKA KATIKA UKUMBI WA JOHN MWANKENJA ULIOPO KATIKA JENGO LA ZAMANI LA HALMASHAURI YA RUNGWE MKOANI MBEYA

 ................................................................................................................................

WANAFUNZI WA TEOFELO KISANJI(TEKU) JIJINI MBEYA WAGOMA WAKISHINIKIZWA WALIPWE PESA ZAO ZA RESEARCH ZAIDI YA MIL.100 LEO..

 
Wanafunzi wa Chuo kikuu cha  TEKU wakiwa wanajikisanya kusikia uongozi wa chuo uatoa Tamko gani, huku wakipiga kelele
 
 Wakati  Vice Chancellor wa TEKU akionge nyuma Dr. Tuli Kazimoto huku nyuma waandishi wa Habari walikuwa wakikatazwa wasichukue habari
 Depute Vice Chancellor Academic affairs  akiwa katika kikao kifupi na wanafunzi nje ya ofisi
 
 Hili ndilo Tamko Lililo leta utata kwa wanachuo hao wanadai pesa zao za Research
Wanafunzi wa Chuo cha TEKU waakilikataa Tamko hilo 
 Baadhi ya Mabango waliyo kuwa wameyaandika
 Vice Chancellor wa TEKU  Dr. Tuli Kazimoto  akiongea na wanachuo wa TEKU na kuwasihi wawe wapole wakati swala lao linafanyiwa kazi
 Mwanafunzi huyo ambaye jina lake halikutambulika Mara Moja alichafua Hewa Baada ya Kuonekana anatetea Tamko la Utawala
 Mmoja wa wanachuo wa TEKU akieleza kwa sababu gani wao wanataka pesa hizo
  Vice Chancellor wa TEKU  Dr. Tuli Kazimoto  akitaka weka Tamko ambalo baadae lilichanwa na wanafunzi hao na kusema ni upuuzi kuwekewa agizo hilo, na kuendelea kudai pesa zao .

Muhasibu wa Chuo kikuu cha TEKU   Jeremea Mwakanyerenge  akitoa maelezo kuhusu pesa za wanachuo hao ambapo aliwakoroga kabisa na kuwafanya watake pesa zao leo leo 
..................................................................................................

MAZISHI YA MGANGA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM DKT JUDITH KAHAMA MARO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya Msiba wa marehemu Dkt, Judith Kahama, wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es salaam, leo Julai 11, 2013
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano w a Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji baadhi mume  wa marehemu, Profesa Maro,  wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es Salaam, leo Julai 11, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt. Judith Kahama, wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baba wa marehemu Sir George Kahama sambamba na viongozi wengine wakati walipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu Upanga jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2013.
Gari lililobeba mwili wa marehemu likiwasili katika makaburi ya Kinondoni kwa mazishi

Profesas Maro akiwasili makaburini

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa mfiwa
Mama Salma Kikwete akitoa mkono wa pole
Mama Salma Kikwete akimpa pole binti wa marehemu
Rais Kikwete akitoa pole kwa mtoto wa marehemu
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa pole kwa wafiwa
Pole kwa wafiwa
Pole kwa wafiwa
Sehemu ya waombolezaji
Rais Kikwete akiongea na Profesa Maro, mume wa marehemu
Waombolezaji wakiwa mazishini
Sehemu ya waombolezaji
Watoto na ndugu wa marehemu
Sala ya mazishi
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa na ndugu wa marehemu
Padri Paul Haule akiongoza mazishi
Profesa Maro akiweka udongo kaburini
Wazazi wa marehemu wakiweka udongo kaburini

Rais Kikwete na Mama Salma wakiweka udongo kaburini
Fred Maro akiweka udongo kaburini
Babu na bibi wakiweka udongo kaburini
Ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu mazishini
Padri Paul Haule akiongoza mazishi
Profesa Maro akiweka shada la maua kaburini
Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua
Wazazi wa marehemu wakiweka shada la maua
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua kaburini
Mama Anna Mkapa akiweka shada la maua Kaburini
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadick akitoa heshima baada ya kuweka shada la maua kaburini
Babu na bibi wakiweka shada la maua kaburini
Sehemu ya waombolezaji
Waziri wa Afya na Ustawi wa jamii Dkt Hussein Mwinyi akiweka shada
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akiweka saha la maua
Ndugu wa marehemu wakiweka shada la maua
.......................................................................................................

KAMPUNI YA HIGHLAND SEED GROWERS LTD YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA MAHINDI VIJIJINI.

Wakala Mkuu wa  Usambazaji wa mbegu za Highland Seed Growers, Tito Tweve.
 
 Wakala wa Usambazaji wa mbegu za Highland Seed Growers, Award Mpandile akizungumza jambo na wakulima wa Mahindi kuhusu uzuri wa mbegu hizo vijijini.
                                       
 Meneja Masoko wa Kampuni ya kuzalisha  mbegu ya Highland Seed Growers John Mbele akitoa elimu kwa Wakulima wa kata ya Ikuwo jinsi mbegu hizo zinavyostahimili hali ya hewa na mahitaji ya watanzania.
 Wakulima wa Kata ya Ikuwo wakifuatilia kwa makini elimu juu ya Mbegu ya Mahindi iliyofanyiwa utafiti na Chuo cha Kilimo cha Uyole aina ya UH 615.
 Diwani wa Viti Maalum kata ya Ikuwo Tuli Mwasanga akigawa mbegu kwa Wakulima
 Mkulima akitoa maoni yake kuhusu mbegu hizo
 Afisa Masoko akiwa katika picha ya pamoja aada ya kumaliza mkutano
 Wakulima wakigawiwa mbegu kwa ajili ya majaribio
Meneja Mauzo na Wakala  wa mbegu wakiangalia shamba la mfano lilivyozalisha vizuri
 Afisa kilimo wa kata ya Ikuwo Olimpa Ukwama  akizungumza jambo
 Diwani wa Kata hiyo Antony Sanga

Wakulima wakisikiliza kwa Makini .
Katika kuhakikisha Sera ya Serikali ya Kilimo kwanza inafanikiwa kwa Vitendo, Kampuni ya Kusambaza Mbegu Mbali mbali zinazofanyiwa utafiti na Chuo cha Kilimo cha Uyole Jijini Mbeya imeanza kuwasambazia Wakulima wa Vijijini mbegu bora za Mahindi aina ya UH 615.
Neema hiyo imeanza kuwanufaisha Wakulima wa Wilaya za Makete Mkoani Njombe, Rungwe na Halmashauri ya Jiji la Mbeya Mkoani Mbeya baada ya Kampuni hiyo kusambaza mbegu ambazo wakulima wamezisifu kuwa zinazalisha mazao mengi tofauti na mbegu zingine.
Akizungumza na Wakulima wa Kijiji cha Ikuwo Wilayani Makete katika Mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya  kujua jinsi wakulima wanavyokumbana na changamoto za Mbegu hizo mpya Wakala wa Usambazaji wa Mbegu za Highland Growers Ltd, Award Mpandile amesema lengo la kutengenezewa mbegu hizo ni kukabiliana na hali halisi ya hali ya Hewa ya asili ya Mtanzania.
Amesema Mbegu nyingi zinazolimwa na Wakulima haziwasaidii kutokana na kutoa Pumba nyingi badala ya Unga pamoja na kushindwa kustahimili magonjwa mbali mbali hali inayopelekea Wananchi wengi kushindwa kupata maendeleo.
Kwa upande wake Meneja Masoko wa Kampuni hiyo,  John Mbele amesema ni kampuni chache zinazotengeneza bidhaa na kuwauzia watumiaji lakini baadaye wakaenda kuwauliza wananchi namna wanavyoipokea na matunda yake pamoja na changamoto.
Baadhi ya Wakulima wa Kijiji cha Ikuwo wamesema mbegu zilizoletwa na Kampuni hiyo ni bora kutokana na uzalishaji wake kukidhi haja na kuwaongezea kipato.
Wamesema unapovuna Mahindi machache lakini unga unakuwa mwingi tofauti na kiwango hali kadhalika ladha ya unga wake pamoja na mahindi yenyewe ambayo mara nyingi huishia kuchoma na kuwaomba wasambazaji kuwaisha Mbegu hizo kwa wakati ikiwa ni pamoja na kuwatafutia soko la uhakika kutokana na kujikita katika uzalishaji.
Aidha wakulima hao zaidi ya 30 walizawadiwa kila mmoja Kilo mbili za mbegu za mahindi kwa ajili ya mfano ili wapande na kujionea manufaa na ubora wa mbegu hizo kabla ya kuanza kuuziwa ili wabadilishe mfumo kutoka kutumia mbegu za zamani na kutumia mbegu za kisasa zilizofanyiwa utafiti.
Picha na Mbeya Yetu
........................................................................

No comments: