Thursday, July 25, 2013

RAIS KIKWETE AFUNGUA JENGO LA MAHAKAMA KUU KANDA YA BUKOBA


IMG_0286 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete  akikata utepe akisaidiwa na  Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman wakifungua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013Wananchi waliojitokeza kwa wingi katika ufunguzi huo wakiondoka baada ya uzinduzi huo c3 

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa baada ya kufungua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa baada ya kufungua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013
c6 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa mahakama nchini mara  baada ya kufungua  rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013
c7 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiondioka baada ya kufungua  rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo Julai 25, 2013

MAADHIMISHO KUMBUKUMBU ZA MASHUJAA WALIOPIGANA VITA VYA KAGERA YAFANYIKA MKOANI KAGERA

photo 2ce85
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange pamoja na Wakuu Wengine wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja alipokuwa akitembelea sehemu walipozikwa Mashujaa wa Vita vya Kagera leo Julai 25, 2013 katika Kikosi cha Jeshi cha Kaboya, Mkoani Kagera(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

 ...............................................................................................................

MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA YAFANA MBEYA












Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro mwenye suti ya bluu ambaye pia ni mwenyekiti wa wakuu wa wilaya za mkoa Mbeya ndiye aliongoza maadhimisho hayo akimwakilisha mkuu wa mkoa Abbas Kandoro kulia kwake mkuu wa wilaya ya Mbeya Norman Sigalla 



Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro akiweka mkuki na ngao kuwakumbuka mashujaa waliokufa vitani



Mwakilishi wa mstahiki meya wa jiji la mbeya akiweka shada lake

Mzee Ernest Waya akiweka upinde na mshale kuwakumbuka wenzake aliokuanao vitani enzi hizo...

Chifu Lyoto alikuwepo kuweka shada kuwakumbuka mashujaa

Viongozi mbali mbali wa dini waliwaombea duwa mashujaa wetu




Mzee Ernest Paulo Waya aliyepigana vita kuu ya pili vya Dunia alikuwepo kuwakumbuka wenzake 

Picha na Mbeya yetu

No comments: