Sunday, July 7, 2013

TAMASHA LA MATUMAINI; MDEE VS WOLPER NA AUNTY EZEKIEL VS BULAYA watoka SARE


10 4f8b7
Pambano kati ya Mbunge Halima Mdee na Muigizaji Jackline Wolper iliishia droo kwa kufungamana kwa makonde 10-10. (HM)

20 cebd9
Wolper na Mdee wakipambana vikali
30 53512
Mbunge Ester Bulaya akikwepa ngumi iliyorushwa na Aunt Ezekiel (kushoto). Pambano lao liliisha kwa sare pia. Chanzo: Shaffihdauda

yanga wabunge yainyuka simba 4-3,Tamasha la matumaini dar

bunge 58be0
Yanga wabunge wakipasha kabla ya kuanza kwa mchezo katika Tamasha la Matumaini Dar (HM)

jk2 17b4b
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi walioohudhuria kwenye tamasha la maatumaini
fenela 5bfa9
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na michezo, Fenela Mukangara akizungumza kwenye tamasha hilo
shigongo 46ca5
Eric Shigongo akizungumza kwenye tamasha hilo
simba 03937
Simba wakijifua kabla ya mchezo wao na wabunge wa Yanga

No comments: