Wednesday, October 2, 2013

WAFANYA BIASHARA KUGOMA KUNUNUA MASHINE ZA TRA ZENYE THAMANI YA THS 800,000 JIJINI MBEYA, MADUKA YAFUNGWA KUTOKANA NA VURUGU ZINAZOENDELEA


 Polisi wakiwa katika ulinzi mkali 
 Maduka yakiwa yamefungwa 
 Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini  hatma yao
 Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
 Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote
 Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA
 Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia huku wakishidwa kujibu swali la je nao wanahusika na kununua mashine hizo za TRA?
 Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite
BARABARA ZINAZOENDELEA KUJENGWA JIJINI MBEYA KWA GHARAMA KUBWA ZINACHOMWA NA VIJANA WAFANYA VURUGU SABABU YA MASHINE YA TSH 800,000/=
 Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.....

  HALI YA VURUGU INAELEKEA KWISHA SASA JIJINI MBEYA NI BAADA YA POLISI KUWEKA ULINZI MKALI, KIKAO BAINA YA SERIKALI NA WAFANYABIASHARA KUFANYIKA MCHANA WA LEO.

Polisi wakiwa wanasindikiza gari la matangazo ambalo lilikuwa likitangaza kuomba Vurugu hizo na maandamano yasiyo Rasmi yasimamishwe 
Ulinzi ukiwa unazidi kuongezeka kama inavyo onekana pichani Muda huu...

Taarifa za awali zinasema kwamba kuna mkutano wa Ghafla umeandaliwa hapo saa nane mchana ambapo wafanya biashara pamoja na wahusika kutoka Serikalini watakutana ili kujadili suala hilo la Mashine hizo. 

No comments: