
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM
Ndugu Abdulrahman Kinana kushoto akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya
Rungwe Ndugu Bw. Crispin Meela katika mji wa Ushirika wilayani Rungwe
mara baada ya kuwasili wilayani huo, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani
Mbeya ambayo aliianza jana wilayani Kyela akitokea Mbamba Bay wilaya ya
Nyasa mkoani Ruvuma , Kinana ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi Siasa
na Uenezi Ndugu Nape Nnauye na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa
na Uhusiano wa Kimataifa , Kinana ameanza kazi katika wilaya ya Rungwe
kwa kufanya mkutano wa ndani ambapo atapokea taarifa ya utekelezaji wa
ilani ya uchaguzi na uhai wa chama wilayani Rungwe
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana
na Mbunge wa jimbo la Rungwe Mashariki Mh. David Mwakyusa mara baada ya
kuwasili katika mji wa Ushirika Wilayani Rungwe ambapo ndipo
alipopokelewa leo






![]() |
Katibu wa NEC Siasa na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara Kandete Wilayani Rungwe. |
![]() |
Katibu wa NEC Uhusiano wa Kimataifa Dr. Asha Rose Migiro akitoa shukrani kwa wananchi wa wilaya ya Rungwe kwa kugalagal chini baada ya upewa zawadi na akina mama wa Halmashauri ya Busokelo. |
![]() |
Viongozi wa CCM WILAYA YA Rungwe wakisikiliza hotuba za viongozi wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu, Abdulrahman Kinana katika kata ya Kandete wilayani Rungwe. |
![]() |
MSAFARA NDANI YA HALMASHAURI YA BUSOKELO |
No comments:
Post a Comment