Saturday, February 1, 2014

ZITO AJA NA UKWELI MWINGINE

Mbunge wa Kigoma Kasikazini ZittoZuberi Kabwe leo kaanika ukweli na kuonesha uwazi wa maslahi wanayopata viongozi wetu. Ikiwa wananchi kipato chao ni kidogo sana huku watumishi wakipokea mishahara ambayo haikidhi na cha kushangaza wale waliopewa dhamana ya kuwawakilisha bungeni hawaoneshi nia ya kupigania kuongezwa mishahara ya watumishi walau ikaribie kama yao. Je tutafika na je ndio Tanzania tunayoitaka?

Katika ukurasa wake wa FACEBOOK, Mwanademokrasia huyo kaandika hivi: "Posho za kukaa (sitting allowances) kwa mwaka ni tshs 36m kila mbunge. Kwa miaka 5 ni tshs 182m! We lost the battle. Will we gratuity one?"

No comments: