Wednesday, December 31, 2014

MAHABUSU APIGWA RISASI AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU

unnamed 
Mahabusu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa amenasa kwenye ukuta wa chuma baada ya kupigwa risasi na maaskari wakati alipokuwa akijaribu kutoroka kwa kuruka ukuta huo katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es salaam, inadaiwa  mahabusu huyo ambaye si raia wa Tanzania alikuwa anakabiliwa na kesi ya madawa ya kulevya.
unnamed2
Baadhi ya askari na watu mbalimbali wakiangalia tukio hilo lililotokea leo asubuhi katika mahakama ya kisutu
unnamed1
Maaskari wakimtoa kwenye ukuta huo wa chuma

No comments: