Viongozi
wa Afrika masharikiSerikali za Afrika mashariki zimetumia kodi
kuvitahadharisha viwanda vyake kwa upande mmoja na kuwapa motisha
wananuzi wa bidhaa kutoka nje wanaosaidia sekta muhimu kama vile miundo
mbinu,kawi mbali na utekelezwaji wa itifaki ya soko la pamoja.
Katika
mapendekezo ya bajeti yaliosomwa siku ya alhamisi Kenya, Uganda Rwanda
na Tanzania zimepunguza kodi za bidhaa zinaozoagizwa kutoka nje kwa
sekta muhimu kama vile kawi,mawasiliano na miundo mbinu.
BBC
Waziri wa
Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni Bajeti Kuu ya
Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma leo.
No comments:
Post a Comment