Thursday, July 9, 2015

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA UKUMBI MPYA WAMIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA Julai 9, 2015.

1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo mjini Dodoma, leo Julai 9, 2015.
Picha zote na OMR
2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akibonyeza kitufe cha kengere kuashiria uzinduzi rasmi wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo  mjini Dodoma, leo Julai 9, 2015.
3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, na Balozi wa China nchini Tanzania, kwa pamoja wakifunua kitambaa kuashiria kuzindua rasmi Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo mjini Dodoma, wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo Julai 9, 2015.
4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akimkabidhi mfano wa ufunguo wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, Katibu Mkuu wa CCM Bara, Abrahman Kinana, baada ya kuzindua rasmi ukumbi huo leo, mjini Dodoma.
5
Rais jakaya Kikwete, akionyesha mfano wa ufunguo wa Ukumbi huo baada ya kukabidhiwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa ukumbi huo leo, mjini Dodoma.
6
Picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Chama na Serikali baada ya uzinduzi huo.
8
Rais Jakaya Kikwetena baadhi ya Viongozi, wakitembelea kukagua ukubi huo baada ya uzinduzi.
9 10
Picha ya pamoja baada ya kutembelea kukagua ukumbi huo.

No comments: